Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balozi atoa tahadhari hii kwa Wakenya waishio TZ

Alhamisi , 26th Mar , 2020

Balozi wa Kenya nchini Tanzania , Balozi Dan Kazungu, amewataka Wakenya wote waishio nchini kuhakiksiha wanafuata taratibu zote zinazotolewa na wataalam wa afya kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa hatari unaosababishwa na Virusi vya Corona.

Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu

Balozi Kazungu ameyabainisha hayo leo Machi 26, 2020, wakati wa ziara yake maalum katika kituo cha runinga cha EATV, ambapo amesema kuwa ugonjwa huo ni hatari na kwamba unaeneo kwa haraka zaidi.

"Kenya ilitangaza kesi ya kwanza kwa mtu mwenye Corona Machi 13, 2020, ningependa kuwashauri ndugu zangu kuchukua tahadhari tuliyopewa na Shirika la Afya Duniani juu ya ugonjwa huu, tunatakiwa kuosha mikono yetu kwa sabuni, kutumia sanitizer, tuepuke kushikana mikono, tuepuke kugusa midomo na pua zetu, ambavyo vitasababisha kupata virusi kwa haraka" ameeleza Balozi Kazungu.

"Tuepuke mikusanyiko ya watu kwa vyovyote itakavyowezekana, tuwe wasafi, tupeane umbali kidogo na mtu, kukaa nyumbani kama utakuwa na dalili kama kukohoa na mafua, kisha chukua vipimo ili kujua tatizo" ameongeza. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto