Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

BAVICHA watoa Masaa 72 Serikali kutoa mikopo

Jumatatu , 9th Nov , 2015

Baraza la vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo BAVICHA wamesema kuwa wameamua kuingilia kati kushawishi suala la utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa wao kuitisha mgomo nchi nzima.

Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana la CHADEMA,(BAVICHA), Julius Mwita

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana la CHADEMA,(BAVICHA), Julius Mwita leo jijini Dar es salaam wakati ikiongea na waandishi wa habari katika ofisi za CHADEMA katika kuelekezea msimamo wa vijana wa chama chao juu ya mikopo ya elimu ya Juu.

Mwita ameongeza kuwa wametoa masaa 72 endapo Serikali isipotekeleza suala la ukamilishaji wa utoaji mikopo hiyo basi kwa kuwa BAVICHA kimeenea nchi nzima basi watafanya kila njia ili kuanzisha mgomo wa wanafunzi hao ambao hautakuwa na madhara kwa watu wengine.

Kwa upande wake Mratibu Uhamasishaji wa BAVICHA, Edward Simbeye amedai kuwa chama chao kimejiandaa kudai demokrasia nje ya boksi ya kura kutokana Uchaguzi mkuu uliopita kujaa Ulaghai wa Demokrasia.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava