Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bilioni 3 kutolewa kwa vijana nchini

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Ubalozi wa Uswisi kwa kushirikina na ubalozi wa Norway nchini Tanzania, wamesaini mkataba wa zaidi ya shilingi bilioni 3 za Kitanzania kwa ajili ya kuwasaidia vijana wabunifu na wenye vipaji kuweza kujiajiri na kuchangia katika kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Mabalozi wakisaini mkataba wa bilioni 3

Akizungumza kwa niaba ya Ubalozi wa Uswisi baada ya zoezi la utiaji saini, Leo Nascher ameeleza kuwa ubalozi utaendelea kuwashika mkono vijana katika kuwajengea uwezo kwenye vipaji na ubunifu ambao wamekuwa wakiufanya, 

Kwa niaba ya Balozi wa Norway Kjetil Schie, amewataka wadau wengine kuungana katika kuwasaidia vijana wenye vipaji na mawazo ya ubunifu, na kuacha kuwakatisha tamaa.

Kwa upande wao vijana wenye vipaji na wanaojishughulisha na sanaa, wamewataka wazazi kubadili mitazamo yao, na kuacha kuwa kikwazo kwa vijana waopenda sambamba, huku wakiomba serikali pia kuwaangalia na kuendelea kuwasaidia.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa