Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bulaya adai yeye ni kipenzi cha wana Bunda

Jumanne , 9th Feb , 2021

Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya, amesema kuwa yeye ni mbunge wa muda mrefu na mbunge kipenzi cha wananchi wa Bunda, ili hali jimbo hilo kwa sasa liko chini ya mbunge Robert Maboto, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 9, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akiuliza swali kwa Wizara ya Maji kwamba ni lini kata 14 za Bunda zitapa maji safi na salama kupitia mradi wa maji ya kutoka Ziwa Victoria.

"Waziri anajua mradi wa maji wa Bunda umetumia zaidi ya miaka 13, tayari maji yameshatoka Ziwa Victoria na kata 7 za mjini mmeanza kueneza mtandao wa maji. Nataka kujua mimi kama mbunge 'senior' wa eneo lile na kipenzi cha wana Bunda ni lini kata 14 zitapata maji safi na salama", amesema Mbunge Ester

Mara baada ya kauli hiyo, Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, alionesha kushangazwa na kauli iliyotolewa na mbunge huyo na kuhoji, "Sasa Mheshimiwa Ester, kipenzi cha wana Bunda ni wewe au mbunge wa jimbo la Bunda?".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava