Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bwege awafungukia wapinzani

Jumatano , 11th Jul , 2018

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara ‘Bwege’ amesema kuwa vyama vya upinzani vinapaswa kushikamana kwa ajili ya mafanikio katika uchaguzi wowote utakaofanyika nchini.

Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini (CUF), Selemani Bungara ‘Bwege'

Akizungumza kupitia KIKAANGONI ya East Africa Television inayorushwa kupitia ukurasa wake wa facebook, Bwege amesema hakuna chama cha upinzani kitakachoweza kukiondoa chama tawala ‘ chama cha mapinduzi ’ madarakani bila ya mshikamano na vyama vingine vya upinzani.

“Migogoro mingi katika vyama vya upinzani hasa CUF haitaleta tija ya kukiondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani iwe ni kwenye majimbo au katika uchaguzi wa Rais, kinachoitajika ni mshikamano baina ya vyama vya upinzani” ,amesema Bwege.

Aidha Bwege ameongeza kuwa migogoro mingi ndani ya CUF na itikadi zilizojengwa na watu wengine kutoka nje ya CUF kwamba chama hicho kimejengwa zaidi na itikadi ya dini ya kiisiramu na kutokana na uvumi huo wakiristu wengi walihama chama hicho.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava