Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa.

Jumamosi , 24th Sep , 2022

Katibu wa Baraza la wanawake wa Chadema nchini (BAWACHA) Catherine Ruge amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mara katika ukumbi wa Musoma club Halamashauri ya Musoma Muda mfupi kabla ya kufanya Mahojiano na Waandishi wa habari juu ya mauaji ya watu watatu wanaodaiwa ni Majambazi .

 

Mauaji hayo ya watu wa tatu yalitokeaa siku ya semptemba 22 katika wilaya ya Serengeti ambambo moja ya waliouwawa ni mjomba wake na katibu hiyo wa chadema anaefahamika kwa jina la Mugare Makori.

Chanzo cha kukamatwa kwa Catherine Ruge ni kwa ajili ya mahojiano na Jeshi la polisi ili kuelezea  mauaji ya watu hao wa tatu .

Akithibitisha kukamatwa kwa katibu hiyo wa BAWACHA,  kamanda wa Jeshi la Polisi  Longinus Tibishibwamu amesema wamemkamata Ruge kwani ni takwa  la kisheria ambapo anatakiwa kuthibitisha tuhuma za Jeshi la Polisi  kufuatia mauaji ya watu watatu waliouawa wakati wakirushiana risasi na sskari polisi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava