Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM kutoa msimamo wao kuhusu Uchaguzi

Jumatatu , 11th Nov , 2019

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema chama hicho kwa sasa kinaendelea kufuatilia muenendo wa zoezi zima la uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kinatarajia kutoa tamko lake Novemba 13, 2019.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole.

Polepole ameeleza hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa ni siku moja baada ya Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, kutoa tamko la kuwarejesha wagombea wa upinzani, ambao vyama vyao vilitangaza kujiondoa na pamoja na kueleza CCM kupita bila kupingwa kwenye Vijiji vingi.

"Tunaendelea kufuatilia maendeleo ya mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, Chama Cha Mapinduzi kitatoa kauli siku ya Jumatano Tarehe 13 Novemba 2019." ameandika Polepole.

Mapema jana akizungumza na waandishi wa habari Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, alisema mchakato mzima wa zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaendelea kama kawaida kwa kuwa wadau wote walishashirikishwa awali na kupewa kanuni.

"Wagombea ambao waliteuliwa na vyama vyao wakafanikiwa kuchukua na kurejesha fomu, kwa kipindi kilichopangwa na wamerejesha watu hao wana haki ya kugombea, hakuna kuweka mpira kwapani." alisema Jafo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto