Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yampata mrithi wa Nyalandu

Jumamosi , 16th Dec , 2017

Kamati Kuu ya Halmashauri  Kuu  ya  Taifa  ya  CCM,  na  kwa  niaba  ya  Halmashauri Kuu  ya  Taifa  (NEC) imefanya  uteuzi  wa  mwisho  kwa  wanachama wa  CCMwatakagombea  katika  Uchaguzi wa Ubunge katika Majimbo matatu.

Katibu Mwenezi wa NEC-Itikadi na uenezi wa CCM Humphrey Polepole amesema kwamba katika kikao hicho kilichofanyika jana mjini Dodoma chini ya mwenyekiti wa chama cha CCM ambaye pia ni Rais , Dkt. John Pombe Magufuli  kilipitia majina ya walio omba dhamana na kwa kuzingatia misingi ya maadili, uchapakazi, uwakilishi   bora na wenye tija kwa wananchi.

Taarifa hiyo imesema kamati kuu imewateuwa  Monko  Justine  Joseph,  Mgombea  wa  CCM Jimbo la Singida Kaskazini,Ndg.  Damas  Daniel  Ndumbaro,  Mgombea  wa CCM Jimbo la Songea Mjini na Ndg.  Dkt.  Stephen  Lemomo  Kiruswa,  Mgombea wa CCM Jimbo la Longido.

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji