Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yatoa maagizo wafanyabiashara Kariakoo kugoma

Jumapili , 21st Mei , 2023

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeielekeza serikali kufanya uchambuzi wa kina wa masuala yaliyoibuliwa na kulalamikiwa na wafanyabiashara wa Kariakoo ili kutafuta kiini cha tatizo hilo na kutafutia ufumbuzi wa kudumu.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan, wakati akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Hayo yamebainishwa leo Mei 21, 2023, na Kamati Kuu hiyo wakati ikijadili kwa kina taarifa kuhusu mgogoro wa wafanyabiashara wa soko la kimataifa la Kariakoo uliotokea hivi karibuni waliokuwa wakilalamikia masuala ya kikodi.

Aidha serikali imeelekezwa kuhakikisha inatengeneza utaratibu wa ufuatiliaji wa karibu wa changamoto zinazoibuka kote nchini ili kuhakikisha hazileti madhara kama yaliyotokea Kariakoo.

Kamati hiyo imetoa maelekezo hayo katika kikao chake maalum kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan baada ya kupokea na kujadili taarifa kuhusu mgogoro wa wafanyabiashara wa soko hilo.

Wafanyabiashara wa Kariakoo waligoma kufungua biashara zao kwa takribani siku tatu, hadi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alipoingilia kati na kukutana nao na kuweka maazimio ikiwemo kuunda kamati ya watu 14 ambayo itachunguza changamoto zote zinazowakabili wafanyabiashara nchini, na kuzuia baadhi ya mambo ikiwemo shughuli ya kikosi kazi kutoka TRA kilichokuwa kikiwasumbua wafanyabiashara hao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava