Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yatoa neno kuhusu Katiba Mpya

Jumamosi , 20th Apr , 2019

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally amesema kwa sasa hawezi kutoa neno lolote kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya kwa kile alichokisema neno lake litapelekea kulifanya suala hilo lisijadiliwe tena hasa na Wabunge wa CCM, ikiwa siku chache baada ya Bungeni jijini Dodoma kuibuka kwa suala

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally.

la Katiba mpya baina ya Wabunge wa Upinzani na CCM, wakati wa kujadili suala Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria.

Akizungumzia suala la Katiba mpya Katibu Mkuu huyo wa CCM amesema yeye alifuatilia hoja za Wabunge wa Upinzani ambao walitoa michango yao wakati Bunge lilipokaa kama Kamati kujadili bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ambapo amesema Katiba mpya ni sehemu mambo yaliyoainishwa kwenye ilani ya uchaguzi wa chama hicho.

Nilikuwa nafuatilia kwa karibu mijadala inayoendelea bungeni na hasa kuhusu Katiba mpya, malumbano bila kutukanana ndiyo afya ya demokrasia, sitajibu suala hilo kwa sasa kwa sababu nikitoa kauli yangu nitaufunga mjadala huo.” amesema Bashiru

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara zao kwa mwaka 2019/2020.

Wiki iliyopata Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Muungano na Mazingira, Katiba na Sheria pamoja na Wizara ya TAMISEMI zote ziliwasilisha makadirio yao ya bajeti kwa mwaka ujao wa fedha.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava