Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM kuungana na Zitto Kabwe ACT

Jumatano , 20th Mar , 2019

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe, amesema kwamba wapo hadi watanzania waliopo Chama Cha Mapinduzi wameanza kuulizia namna ya kujiunga na chama cha ACT- Wazalendo.

Zitto Kabwe

Zitto ameyathibitisha hayo ikiwa ni siku moja tu tangu alipomkabidhi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif, baada ya kushindwa kesi Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam iliyohalalisha uongozi wa Lipumba ndani ya CUF.

"Nawathibitishia Watanzania kuwa hata wanaotaka mabadiliko kutoka ndani ya CCM   waliochoshwa na kuburuzwa wameanza kutufuata kuulizia lini na vipi wanaweza kujiunga na ACT Wazalendo", amesema Zitto.

Mbali na hayo Zitto amefafanua kwamba maamuzi ya Maaalim Seif kuingia ACT halikuwa jambo la kukurupuka na kwamba ulikuwa mchakato wa muda mrefu.

"Muziki huu ni mkubwa na wala watu wasidhani maamuzi na maandalizi yake yalianza juzi baada ya hukumu ya Mahakama. Ni kazi ya miaka 3 ya kutafuta njia bora ya kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini kwetu. Watanzania watashangaa", amaeongeza Zitto.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine