Mbunge wa Ndanda CHADEMA Cecil Mwambe
Mwambe amefikia uamuzi huo leo Februari 15, 2020 katika makao makuu ya CCM Lumumba, jijini Dar es salaam ambapo amedai sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na kuwepo kwa makundi ya cama hicho.
'Kuanzia leo Februari 15, 2020 ninajivua Ubunge wangu na nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, na nimeamua kujiunga na CCM' - Cecil Mwambe aliyekuwa Mbunge wa Ndanda
Tazama video kamili hapo chini