Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yajibu kuhusu kuwa na migogoro ya kichama

Jumatatu , 15th Oct , 2018

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Vincent Mashinji wametofautiana kwenye kikao cha Kamati Kuu.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema.

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema leo Oktoba 15, 2018 kwamba hakuna kikao chochote cha Kamati Kuu ambacho kimefanyika mwishoni mwa wiki hii, si tu nyumbani kwa mwenyekiti Mbowe bali popote pale.

"Tunaomba Watanzania na wanachama wetu wapuuze taarifa hiyo potofu inayosambazwa kwenye mitandao, tunaomba watanzania na Wanachama wetu wapuuze taarifa hiyo potofu inayosambazwa kwenye mitandao", imesema taarifa iliyotolewa na Mrema.

Amesema pia haijawahi kutokea wakati wowote vikao vya kamati kuu vikafanyika nyumbani kwa mwenyekiti wa taifa wa chama hicho kama ambavyo taarifa hizo zinadai.

Siku za hivi karibuni CHADEMA imekumbwa na wimbi la hamahama ya wabunge wake na kujiunga na CCM, huku sababu kuu inayotajwa na viongozi hao wanaojiuzulu ni migogoro ndani ya chama hicho inayosababishwa na mwenyekiti Freeman Mbowe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava