Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chadema yapata pigo

Jumatano , 26th Jul , 2017

Diwani wa kata ya Moita wilayani Monduli (CHADEMA) Edward Sapunyo amesema sababu ya kujiuzulu uongozi ni kutokana na vikwazo vilivyowekwa na chama chake wakati wa kufanya kazi na watendaji wa serikali, kitendo ambacho kinatafsiriwa kama  usaliti.

Moita ambaye amewawakilisha viongozi wengine wanaoendelea kujiuzulu mkoani Arusha wamesema wanalazimika kuchukua hatua hiyo kutokana na kunyimwa fursa ya kushirikiana na viongozi na watendaji wa serikali kutatua kero za wananchi ikiwa ni pamoja na kutaka kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kazi anayoifanya.

Moita amesema anachokijua yeye ni kwamba pamoja na kuwa kiongozi kwenye chama cha Upinzani anapaswa kushirikiana na watendaji waliopo madarakani kutatua kero za wananchi lakini baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wamekuwa wakiona kama ni usaliti.

“Moja ya jambo lililoniuma kuna mradi wa maji ambao nimehangaika nao tangu mwaka 2006 fedha zilipatikana na umekuwa unaendelea vizuri, lakini viongozi wangu wanaukwamisha usifikie tamati licha ya kuwa wananchi wameanza kutumia maji,”  alisema

Hata hivyo baadhi ya wananchi wa kata hiyo wametofautiana mitazamo juu ya kujiuzulu kwa madiwani hao ambapo baadhi yao wamefurahia na wengine wamesema wanachotaka ni kuona matatizo yao yanapata ufumbuzi na wanakuwa na maendeleo.

Kiongozi huyo amekabidhi barua yake ya kujiuzulu jana na kufikisha idadi ya madiwani waliojiuzulu mkoani Arusha kufika tisa.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto