Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yatoa kauli kutoweka kwa Ben Sanane

Jumatano , 14th Dec , 2016

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeiomba serikali kuwasaidia kupata ufumbuzi kuhusiana na kupotea kwa kada wa chama hicho Bwana Ben Sanane ambaye pia ni Msaidizi wa Mwenyekiti Taifa wa Chama hicho Mhe. Freeman Mbowe.

Ben Sanane - Kada wa CHADEMA anayedaiwa kutoweka

 

Akiongea na vyombo mbalimbali vya habari hii leo Jijini Dar es Salaam, Mwanasheria wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu amesema, Msaidizi huyo Bwana Ben Sanane hajaonekana kwa muda sasa hivyo kuiomba serikali kupitia Jeshi la Polisi Tanzania kuwapa taarifa kwani tayari wamekwisha toa taarifa ya kupotea kwa jeshi hilo.

Mhe. Lissu amesema wanaingiwa na hofu kuhusiana na tukio la kupotea kwa kada wao huyo hivyo ushirikiano wa kutosha na jeshi la polisi unahitajika katika kuwasaidia kupata jibu ni wapi alipo kada huyo na kuweza kutambua kama bado yupo hai.

Tundu Lissu - Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava