Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yaukwepa Ufisadi

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt. Vicent Mashinji amesema Ufisadi sio agenda pekee ambayo chama chake na upinzani wanashughulika nayo.

Mashinji ameyasema hayo kufuatia taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Siha kwa tiketi ya CHADEMA Godwin Aloyce Mollel kueleza kuwa amejiuzulu uanachama ndani ya CHADEMA pamoja na Ubunge ili kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli katika kupambana na ufisadi.

“Ameongelea sana kwamba kuunga mkono hoja za Ufisadi, lakini si kweli kwamba agenda za upinzani ni Ufisadi peke yake tulikuwa na agenda mbalimbali mojawapo ikiwa ni jinsi gani taifa letu litapata viongozi”, amesema Mashinji kwenye mahojiano na kituo kimoja cha Televisheni.

Aidha Katibu huyo ameongeza kuwa upinzani unazidi kuimarika katika taifa hili na umeendelea kubeba agenda za wananchi katika kutoa mtazamo mbadala katika kuleta maendeleo.

Siku za hivi karibuni upinzani umeondokewa na wabunge wake kadhaa akiwemo aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia (CUF) pamoja na Godwin Aloyce Mollel ambaye alikuwa Mbunge wa Siha (CHADEMA). Mtulia tayari ameshajiunga na CCM wakati Godwin naye akiweka wazi nia yake ya kujiunga na CCM.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava