Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya ukatili kwa wanafunzi Goba

Alhamisi , 26th Jan , 2023

Kukosekana kwa uzio pamoja na wanafunzi, kutembea umbali mrefu katika maeneo yanayozingirwa na vichaka zimetajwa kuwa changamoto zinazochangia kuongezeka kwa matukio ya ukatili yakiwemo ulawiti na ubakaji kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi katika kata ya Goba wilayani Ubungo Dar

Hayo yamebainishwa katika shule mbili za msingi Kunguru na Kulangwa zilizopo mtaa wa Tegeta "B" katika kata ya Goba baada ya wanafunzi pamoja na walimu wa shule hizo kueleza kutofurahishwa mazingira wanayokutana nayo wanafunzi wakiwa shuleni na hata wakati wa kurejea majumbani kutokana na maeneo mengi kuzungukwa na mapori ambayo yamekua yakihatarisha usalama wao.

Licha ya wanafunzi wa shule hizo kuwa kwenye hatari ya kukumbwa na matukio ya ukatili lakini pia shule inakabiliwa na upungufu wa madawati, viti pamoja na meza za walimu hali inayowalazimu baadhi ya walimu kutumia madawati ya wanafunzi wakati wa kutekeleza majukumu yao.

Kufuatia changamoto zinazoikabili shule hizo baadhi ya viongozi kutoka jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi CCM kata ya Goba wakatembelea katika shule hizo lengo likiwa ni kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa shule hizo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava