Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Corona: Madaktari waililia Serikali "Mtulinde"

Alhamisi , 2nd Apr , 2020

Chama cha Madaktari nchini (MAT), kimeiomba Serikali kuongeza vifaa vya kuwakinga watoa huduma za afya wanapowahudumia waathirika wa Virusi vya Corona pamoja na kutoa dawa za muda mrefu kwa wagonjwa, wanaochukua dawa kila mwezi ili kupunguza msongamano katika hospitali mbalimbali.

Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dkt Elisha Osati

Ombi hilo limetolewa leo Aprili 2, 2020 na Rais wa MAT, Dkt Elisha Osati, alipozungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, na kupongeza juhudi zinazochukuliwa na Serikali dhidi ya ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona.

"Ili watumishi wa Afya na Madaktari waweze kufanya kazi vizuri, tunahitaji pia kulindwa, tunahitaji vifaa vya kuweza kupambana na Corona kama Mask,ziendelee kupatikana, tuombe hata viwanda visaidie kutengeneza hivi vifaa ili waweze kuwalinda wananchi na watumishi wa sekta ya afya" amesema Rais wa MAT.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava