Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Corona: Watu 112 kufuatiliwa, idadi yaongezeka

Alhamisi , 19th Mar , 2020

Idadi ya wagonjwa walioambukizwa na Virusi hatari vya Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita, ambao wote wawili ni Watanzania waliokuwa wamesafiri kwenda nchi za nje mwezi huu.

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

Taarifa hiyo imetolewa leo Machi 19, 2020, na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, na kusema kuwa tayari wagonjwa hao wametengwa na hali zao zinaendelea vizuri.

"Wagonjwa wapya wawili wamethibitika Jijini Dar es Salaam, wa kwanza ni mwanaume (40), aliyesafiri nchi za Uswisi, Denmark na Ufaransa na alirudi nchini Machi 14, mwingine ni mwanaume (40), ambaye alikuwa Afrika Kusini kuanzia Machi 14, na alirejea nchini Machi 17" amesema Waziri Ummy.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa juhudi za kuwafuatilia waliokuwa karibu nao zinaendelea, ambapo hadi sasa jumla ya watu 46 wanafuatiliwa jijini Arusha na watu 66 wanafuatiliwa jijini Dar es Salaam.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava