Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CRDB Marathon yafana

Jumatatu , 15th Aug , 2022

Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikianana wadau , taasisi na sekta binafsi katika kutafuta suluhisho la matatizo mbalimbali yanayoikumba jamii haswa katika maeneo ya afya, elimu na huduma za jamii.

Mkurugenzi wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameyasema hayo hivi karibuni mkoani Dar es Salaam kwenye mbio za marathon zilizoandaliwa na benki ya CRDB, mbio  zilizolenga kufadhili matibabu ya akinamama wenye ujauzito hatarishi, ikiwemo pia watoto wenye matatizo ya moyo, mbio zilizofanyika Oysterbay Masaki, ambapo zaidi ya wakimbiaji 6000 kutoka ndani na nje ya nchi walishiriki

"Ijapokua kwa sasa hatuna takwimu maalum kuonyesha idadi ya wanawake wenye ujauzito hatarishi, ila sote ni mashahidi kuwa hivi akribuni tumeshuhudia wakinamama wengi wakipoteza maisha kutoana na mimba hatarishi," amesema Dkt. Mpango

Aidha Dkt Mpango amezitaka taasisi na sekta binafsi kuendelea kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii, akitolea mfano benki ya CRDB ambayo kupitia mbio hizo imeweza kutoa shiligi bilioni 1.

"Benki ya CRDB imekua msitari wa mbele kutatua changamoto za jamii, hiyo ni mbali na kutoa ajira na fursa mbalimbali, mpaka sasa CRDB imesaidia kutoa bilioni 1 kusaidia watoto wauaoumwa moyo katika kituo cha JKCI" ameongeza Dkt Mpango.

Mkurugenzi wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela, amesema kuwa benki hiyo inajivunia ushiriki wa wadau mbalimbali katika kusaidia jamii, ambapo mbio hizo zinazofanyika kwa mwaka wa tatu sasa zimekua zikiongeza idadi ya washiriki, ambapo mwaka huu zaidi ya washiriki 6,000 walipata wasaawa kushiriki na kufanilisha malengo ya kukusanya fedha.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava