Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dalili ya 'Volcano' yaonekana Shinyanga

Jumamosi , 21st Sep , 2019

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack, ametoa tahadhari kwa wananchi wa eneo la Ndembezi Mazinge, mkoani humo, kutokana na uwepo wa dalili za Volcano.

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Telack

Akiongea na EATV & EA Radio leo Bi. Zainabu Telack, amesema kuwa amewataka wakazi wa eneo hilo lililopo Kata ya Ndembezi nje kidogo ya Manispaa ya Shinyanga, kukaa mbali ili kuepuka kupata madhara endapo hali hiyo ikiwa sio ya kawaida.

'Hili eneo linaonekana kama lava au Volcano, lakini hatujathibitisha bado maana udondo unaotoka ni wa baridi, sasa isije kutokea udondo wa moto ukaleta madhara', ameeleza.

Aidha mkuu huyo wa mkoa ameongeza kuwa, 'Hili suala lipo kwa wiki ya pili sasa na ni karibu kiasi na makazi ya watu lakini Watalaamu wa Jiolojia walikuja na hawakubaini madhara yoyote lakini leo (Septemba 21, 2019), kuna watalaamu wanaingia wao ndio watatueleza zaidi'.

Kuhusu mazingira ya eneo, RC amesema kuwa ni kilima ambacho sio kikubwa sana lakini kimekuwa kikitoa udondo tepetepe, ambao unatoka chini kupanda juu lakini kwa mujibu wa wazee wa zamani katika eneo hilo, hicho kitu si cha kawaida kihistoria.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali