Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dar yakabiliwa na upungufu wa madarasa na madawati

Jumanne , 8th Mar , 2016

Mkoa wa Dar es salaamu unakabiliwa na Upungufu wa zaidi ya vyumba vya madarasa elfu tano pamoja na upungufu wa madawati elfu 68,na hivyo kusababisha wanafunzi wengi waliojiunga na masomo mwaka huu kukaa chini.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Bw, Said Mecky Sadick

Akiongea na Waandishi wa habari ofisini kwake jana Jijini Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Bw, Said Mecky Sadick amesema kutokana na hali hivyo wadau wametakiwa kujitokeza kuisaidia sekta ya elimu katika mkoa huo na nchi kwa Ujumla.

Mkuu wa Mkoa amesema kuwa lazima uongozi wa Mkoa upate ufumbuzi wa kudumu wa kutatua kero za elimu ikiwa ni pamoja na kujenga madarasa na shule mpya katika maeneo ya wazi.

Mecky Sadicky ametumia fursa hiyo pia kuwaonya watumishi ambao wanakimbilia kuuza viwanja huku wanafunzi wakiendelea kusoma nje pamoja na kukaa chini hivyo juhudi zinahitajika katika kulifuatilia suala hilo mtambuka.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amezungumzia ziara ya rasi wa Jamhuri wa Vietnam ambae atawasili nchini leo saa mbili na nusu usiku katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere JKN.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali