Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC akanusha kuagiza bendera za CHADEMA kushushwa

Jumatatu , 9th Dec , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Dkt Khalfan Haule, amekanusha taarifa zinazotembea kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye aliagiza bendera zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika wilaya yake kung'olewa.

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dkt Khalfan Haule.

Dkt Haule amesema kuwa taarifa hizo si za kweli, bali yeye aliagiza kuwa bendera zote za CHADEMA ambazo wagombea wake hawakuchaguliwa, zitolewe na zisimamishwe zile bendera ambazo viongozi wake walichaguliwa, kupitia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika hivi karibuni.

"Katika mazungumzo yetu na viongozi wa Serikali za Mitaa, ilionekana viongozi wa CHADEMA wale waliomaliza muda wao bado wanapeperusha bendera kwenye maeneo yao na bado wanawahudumia wananchi, tulikubaliana kuwa ni busara kwamba kwa vile wao sasa sio viongozi, ni busara kuondoa bendera pale na kuwaelekeza wananchi waende kupata huduma kwa viongozi waliochaguliwa sasa hivi, hakuna mahala ambapo nilisema ni lazima" amesema DC Haule.

Kauli hiyo ya kuagiza bendera za CHADEMA zitolewe aliitoa juzi Desemba 7, 2019, wakati wa mkutano wake na viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji waliochaguliwa hivi karibuni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava