Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Desemba wenye VVU watafikia milioni 1.7" - Ummy

Jumatatu , 16th Mei , 2022

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hadi kufikia Desemba 2022 Tanzania inakadiriwa kuwa na Watanzania milioni 1.7 ambao wanaishi na virusi vya Ukimwi na kati yao milioni 1.5 wameweza kutambua hali zao.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Kauli hiyo ameitoa leo Mei 16, 2022, bungeni jijini Dodoma, wakati wa uwasilishaji wa makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2022 hadi 2023 na kusema hadi sasa asilimia 95.8 ya wanannchi waliokuwa wanatumia dawa za ARV walikuwa wamefubaza wingi wa virusi vya Ukimwi ambayo ni sawa na chini ya nakala 1000.

"Hadi Desemba 2022, nchi yetu inakadiriwa kwamba kuwa na watanzania milioni 1.7 ambao wanaishi na virusi vya Ukimwi," amesema Waziri Ummy

Aidha Waziri Ummy, amemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa kuwa balozi wa kuhamasisha wanaume kupima virusi vya Ukimwi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava