Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diwani afukia kisima kilichochimbwa na wananchi

Jumanne , 28th Mar , 2023

Wakazi wa kitongoji cha Nyangalamila B kata ya Irenza Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza wamemkataa diwani wa kata yao baada ya kufukia kisima walichokuwa wanachimba kwa ajili ya kupata huduma ya maji karibu

Wakazi hao wamesema kutokana na Kitongoji hicho kukosa huduma ya maji kwa muda mrefu hali inayowapeleka kutembea zaidi ya kilometa tano kutafuta huduma hiyo na kwamba wakienda ziwani wanashambiliwa na mamba waliueleza uongozi wa Kitongoji hicho ukaamua kumueleza mbunge wa jimbo hilo la Buchosa Erick Shigongo aliyetoa fedha ya kuchimba kisima hicho ili kuwaondolea adha hiyo ya kuliwa na mamba lakini cha kushangaza diwani akakifukia

"Mbunge wetu ametuonea huruma akatuchimbia kisima lakini tunashangaa sisi wanakijiji cha Nyangalamila diwani akaja kufukia kisima anatutakia mema au mabaya?

Kwa upande wake diwani wa kata hiyo Mneke Mauna anayedaiwa kufukia kisima hicho amesema aliamuru kifukiwe kutokana na kutoutambua mradi huo kwenye eneo la kata yake

Fikiri Dotto ni mwenyekiti wa kitongoji hicho cha Nyangalamila B akaeleza masikitiko yake baada ya diwani kufukia kisima hicho

"Tunaomba fikisheni taarifa kwa mbunge na Rais Samia wazipate hizi taarifa kwamba Samia ametoa fedha kwa sababu ya kuwasaidia wananchi na ilani ya CCM inasema kwamba miradi ya maendeleo wananchi wasaidiwe leo mheshimiwa diwani amekuja kufukia kisima naomba mtufikishie taarifa kwa mbunge pamoja na Tanzania nzima kama kweli Tanzania nzima ina madiwani kama huyu wasiowatakiwa wanachi wao mema"
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava