Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diwani na wenzake mahakamani kwa tuhuma za mauaji

Jumanne , 6th Dec , 2022

Watu 14 akiwemo Diwani wa Kata ya Buzilasoga David Shilinde, Mwenyekiti wa CCM Kijiji cha Ikoni B William Nengo na Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Tiluloza Alphonce, wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mwanamke aitwaye Getruda Dotto.

Diwani na wenzake 13 walivyofikishwa mahakamani

Ni kesi namba 23 ya mwaka 2022 ambayo leo hii imetajwa katika Mahakama ya wilaya ya Sengerema mbele ya Hakimu Mfawidhi Tumsifu Barnabas, ambapo Mwendesha Mashtaka wa serikali Theophilius Lucas, ameiambia Mahakama hiyo kuwa upelelezi wake bado haujakamilika na kuomba ipangiwe tarehe nyingine.

Baada ya maelezo hayo ya Mwendesha Mashtaka Hakimu Tumsifu Barnabas, akaiahirisha kesi hiyo hadi Desemba 20 ya mwaka huu huku washtakiwa wakirudishwa rumande katika gereza la Kasungamile.

Inadaiwa kuwa mnamo Novemba 5, 2022, majira ya saa 2:00 asubuhi katika Kitongoji cha Ikoni B, Kata ya Buzilasoga wilayani Sengerema mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Getruda Dotto akiwa nyumbani kwake na watoto wake wawili ghafla alivamiwa na kundi la watu wakiwemo viongozi hao wakaanza kumshambulia kwa kutumia fimbo na marungu huku wakimtuhumu kuiba mihogo kwenye shamba la mwanakijiji mwenzake.

Inaelezwa kuwa mwanamke huyo alijaribu kujiteteana kusema shamba hilo aliachiwa na marehemu mume wake  lakini watu hao waliendelea kumshambulia na baadae wakamchoma moto na kupelekea kifo chake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava