Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dk. Hoseah asema Katiba mpya ni kilio cha TLS 

Jumanne , 20th Apr , 2021

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah amesema suala la Katiba mpya ni kilo cha chama hicho huku akiahidi kukaa pamoja na serikali kuona ni kwa namna gani wanalifanyia kazi suala hilo endapo watapata nafasi hiyo.

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah

Dk. Hoseah amesema hayo leo katika mahojiano kwenye kipindi cha Supa Breakfast ambapo amesema akipata nafasi ya kuzungumza na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan atazungumzia kuhusiana na suala la Katiba kwani lipo katika moja ya ajenda zake.

"Kilio chetu kama Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) ni kutazama hii rasimu ya Katiba na tunao wataalum wa Katiba, tukae na serikali tuone ni kwa namna gani suala zima la Katiba mpya tunalitazama, ni jambo linalonisukuma," amesema Dk. Hoseah.
 
Pia Dk. Hoseah amesema kuwa upo umuhimu wa kuzingatia utwala bora wa sheria nchini huku akieleza kuwa kuna sheria zinatakiwa zifanyiwe marekebisho hususani katika suala la dhamana kwani mfumo wa haki jinai ni mfumo shindanishi na sheria zilizopo kwenye suala la dhamana hakuna usawa kwa watu wote.

Awali akizungumzia uteekelezaji wa ajenda zake ndani ya mwaka mmoja wa uongozi wake na endapo atahitaji kuongezewa muda, Dk. Hoseah amesema mwaka mmoa unamtosha kutekeleza yale yote aliyoahidi.

"Katika suala la uongozi, kiongozi usitake uongezewe muda, kama wanaTLS wataona uongozi wangu umefanya kazi nzuri na wakaridhia tuendelee sawa lakini sisi hatutadai hata sekunde, mwaka mmoja kwa yale niliyoyaahidi nitatekeleze,"amesema Dk. Hoseah.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa