Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt Bashiru avikosoa vyama vya siasa

Ijumaa , 12th Oct , 2018

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt Bashiru Ally amevikosoa vyama vya siasa nchini kwa kile alichokidai vyama vingi kukosa nidhamu katika kusimamia wanachama na misingi ya sera zake kunakosababishwa na viongozi waliopewa dhamana.

Dkt Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mjadala wa miaka 19 ya kumbukumbu ya  Mwalimu Julius Nyerere iliyofanyika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, ambapo viongozi mbalimbali akiwemo Zitto Kabwe, Nape Nnauye, Dkt Vincent  Mashinji wameshiriki.

Akichangia kuhusu suala la nidhamu kwenye vyama vya siasa, Dkt Bashiru amesema "vyama vyetu havina nidhamu, wanachama hawana nidhamu, wanachama wetu hawahudhurii vikao, suala la nidhamu ni jambo kubwa sana la kuzingatia."

"Suala jingine vyama vyetu vingi ni tegemezi, vinategemea pesa kutoka kwa baadhi ya mabeberu, bila vyama hivi kuvijenga kujiendesha kwa wanachama na vyanzo vya ndani kuna hatari matajiri wakaviendesha tuache kuendekeza watu wa nje waongoze vyama vyetu", ameongeza kiongozi huyo.

Aidha Dkt Bashiru amesema miongoni mwa hofu zinazowakabili wananchi walio wengi nchini ni hofu ya kukosa huduma za kijamii, huku akipinga baadhi ya hoja zinazotangazwa na watu aliowaita wasiokuwa na uadilifu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu