Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Kigoda kuzikwa leo alasiri

Alhamisi , 15th Oct , 2015

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jayaka kikwete leo atawaongoza wakazi wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla katika Mazishi ya Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt. Abdalah kigoda.

Dkt.Mohammed Gharib Bilal akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Dkt. Abdallah Kigoda jijini DSM

Akiongea wakati wa kuaga mwili mapema leo jijini Dar es salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Mussa Uledi amesema taifa limepoteza kiongozi msomi mwenye maono makubwa ya kuleta mapinduzi katika sekta ya viwanda na biashara hapa nchini.

kwa upande wa kaimu katibu mkuu wa CHADEMA Salum Mwalimu amesema Marehemu Dkt. Kigoda alikuwa ni kiongozi asiyependa makuu na mwenye kushirikiana na kila mtu bila ubaguzi wowote na atakumbukwa sana kwa uchapakazi wake.

Mazishi hayo yatafanyika nyumbani kwake wilaya ya Handeni leo saa 9 Alasiri na yatahudhuriwa na viongozi wa serikali na wawakilishi wa vyama mbalimbali vya siasa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto