Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Mollel amsimamisha kazi Mhandisi

Jumatano , 6th Jul , 2022

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, amemsimamisha kazi mkuu wa idara ya ujenzi na msimamizi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Ukerewe mkoani mwanza Mhandisi Paul Koroso kwa kushindwa kutoa mchanganuo wa matumizi ya fedha za ujenzi huo ambazo ni shilingi bilioni 2.7.

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel

Dkt. Mollel ametoa kauli hiyo wilayani Ukerewe baada ya Mhandisi Koroso kutoa majibu na lugha ya kijeuri kuwa hajali lolote hata kama akitumbuliwa

"Ni kwamba tunatoka kwenye hii ofisi wewe siyo mkuu wa idara ya ujenzi kwenye hii wizara tuko pamoja? tumemaliza hiyo, kwahiyo Katibu Mkuu namtumia ujumbe mkuu wa idara atakayekuja kusimamia na kushirikiana na hii timu atakuwa mwingine na atakayesimamia hii idara atakuja mwingine," amesema Dkt. Mollel

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Kanali Denis Mwila, amesema mambo ya sintofahamu katika ujenzi huo yametokana na mkuu huyo wa idara kutotambua ofisi yake na kujifanyia kazi bila ushirikiano.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava