Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dr Mpango azindua barabara Arusha

Jumanne , 30th Mei , 2023

Makamu wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameiagiza wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kukamilisha ujenzi wa Barabara yenye miundombinu korofi ya Ngaresero - Engaruka Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha yenye urefu wa Kilometa thelathini na tisa kwa kiwango cha Lami

Makamu wa Rais Dkt Mpango ametoa maagizo hayo wakati akizundua barabara ya Waso hadi Sale yenye urefu wa Kilometa 49 iliyoghalimu zaidi ya bilioni themanini na saba. Na kuitaka wizara kuzingatia zaidi maeneo yenye changamoto katika ujenzi na ukarabati huo.

 
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Geofrey kasekenya anakiri ubovu wa miundombinu duni kwenye barabara hiyo, na hapa anaeleza mpango wa Wizara. 

Kwa upande mwingine Makamu wa Rais amewasha taa katika kijiji Cha Sale kama ishara ya kukamilika Kwa mradi wa Umeme kijijini humo,mradi uliotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini REA. na hapa anatoa maelekezo kwa Wizara ya nishati. 

Nao baadhi ya wakazi wa kijiji cha Salé wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia Huduma ya nishati ya umeme kijijini humo, na kuwa kilikuwa kilio cha muda mrefu Kwa wakazi hao

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava