Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Duni ashindwa kunadi wagombea Buyungu na Kasulu

Alhamisi , 15th Oct , 2015

Mgombea Mwenza wa urais wa Tanzania kupita Chadema anayeungwa mkono na UKAWA, Mh. Juma Duni Haji amewataka wagombea wa ubunge katika majimbo tofauti kuheshimu maamuzi ya viongozi wa UKAWA ya kuachiana majimbo ili kuepuka kugawana kura.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kupita Chadema anaeungwa mkono na UKAWA,Mh. Juma Duni Haji

Akiongea katika mikutano ya hadhara katika majimbo ya Buyungu na Kasulu Mjini, mkoani Kigoma baada ya kushindwa kuwanadi wagombea wa majimbo hayo kupitia chama cha NCCR-Mageuzi baada ya wananchi kudai hawakubaliki na wanaokubalika ni wagombea wa CHADEMA.

Mh. Juma Duni Haji amesema katika kugawana majimbo hayo CHADEMA wana majimbo mengi zaidi hivyo katika maeneo mengine wagombea hawanabudi kufuata maagizo ya viongozi wao ili kuepuka kugawana kura na kukipa ushindi chama cha mapinduzi.

Mzee duni ameongeza kuwa CHADEMA peke yake wanamajimbo yasiyopungua 148 hivyo amewataka wagombea wengine waweze kuwasaidia wagombea walioteuliwa na umoja huo katika kufanya kampeni.

Kwa upande wake Aliyekuwa mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF, Habib Mnyaa amewataka wanachama wasikubali kuchanganyana katika majimbo na kusema zote hizo ni hujuma za chama cha mapinduzi kutaka kuwavuruga.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine