Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EXCLUSIVE: Mganga Kienyeji afanya maajabu Katavi

Jumanne , 18th Jun , 2019

Mkazi mmoja wa Mtaa wa Kashaulili Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, Mbahige Nsanyi Chiha, amejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwatibu baadhi ya wagonjwa waliovunjika mifupa kwa tiba za kienyeji na wagonjwa hao wakipona.

Awali baadhi ya wagonjwa hao walishindwa kupata huduma ya kutibiwa sehemu walizovunjika katika Hospitali ya Mkoa wa Katavi,na kulazimika kwenda kwenye Hospitali za Rufaa huku wenyewe wakiwa hawana gharama za kumudu matibabu hayo.

Akizungumza na www.eatv.tv, Chiha amedai kuwa yeye ni mganga wa tiba  asili na amekuwa akitoa matibabu kwa wagonjwa mbalimbali waliovunjika mifupa kwa njia ya asili.

"Hii huduma yangu inatambulika kisheria hasa kwa wagonjwa ambao wanashindwa kugharamia matibabu yao kuvunjika mguu, mimi ninachokifanya nampeleka kwenye eneo langu la kumtibia halafu namwambia anyooshe mguu ambao ni mzima kisha nachukua kivuli cha mchanga wa mguu ambao haujavunjika kisha naanza kumtibia", amesema Mganga Chiha.

Miongoni mwa wagonjwa walipatiwa huduma na bwana Chiha ni Joseph Peter pamoja na Konsolata Kasimele ambao ni wakazi wa Manispa ya Mpanda waliwahi kutibiwa.

Mtazame hapa chini akionesha matibabu yake

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali