Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu jiwe la Laizer lilivyopatikana

Jumatatu , 3rd Aug , 2020

Imeelezwa kuwa jiwe la tatu la Tanzanite lililonunuliwa na Serikali hii leo, lilipatikana wakati wa kuondoa Mwamba uliokaribia kuanguka ndani ya mashimo anayoyamiliki Bilionea Saniniu Laizer.

Bilionea Saniniu Laizer.

Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 3, 2020, na Waziri wa Madini Doto Biteko, wakati akizungumza na wananchi katika zoezi la makabidhiano ya Jiwe la Tanzanite lenye uzito wa Kg 6.371 kati ya Serikali na Bilionea huyo.

"Katika kuondoa Mwamba uliokaribia kuanguka ili zoezi la uchorongaji liweze kuendelea na ndipo kipande hicho cha Kg 6.371 kilipatikana, ambapo Serikali imeamua kipande hicho chenye thamani ya Bilioni 4.846 ikinunue na itapa mrabaha wa Milioni 290", amesema Waziri Biteko.

Kwa upande wake Bilionea Laizer amesema kuwa wao kama wachimbaji wadogo wadogo wa madini, wameridhishwa na bei ya Serikali, kwa sababu haina longolongo na kuwaomba Watanzania wamchague Rais Magufuli.

"Nina uhakika ninaweza kutoa Mawe makubwa zaidi ya haya, tunaiomba Serikali iendelee kukata kodi kwa sababu inasaidia maendeleo, upande wetu Umasaini kila mtu anachota maji kwenye nyumba yake, Punda wamepumzika , Magufuli ni mwema kila mtu amchague popote alipo, tumempata Mfalme".

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali