Mmoja wa Faru akifungwa kifaa hicho
Vifaa hivyo vinafungwa kwa kushirikiana na shirika la uhifadhi la Ujerumani la Frunk Furt Zoological Society, lengo ikiwa ni kufuatilia nyendo zao pamoja na kupata taarifa nyeti dhidi ya uhifadhi wa wanyama hao,ambao wapo katika orodha ya wanyamapori walio katika tishio la kutoweka.
Tazama Video hapo chini