Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fatma Karume azungumzia kauli ya Makonda

Jumatano , 18th Sep , 2019

Wakili wa kujitegemea na aliyewahi kuwa Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Fatma Karume, ameonesha kushangazwa na kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, iliyoeleza kinachomuweka madarakani ni njaa tu na kusema kwamba, kiongozi huyo inaonesha ni kwa namna gani hawezi

Fatma Karume

Akizungumza leo Septemba 18, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Fatma Karume amesema kuwa kwa kiongozi yeyote aliyepewa jukumu la kuhudumia wananchi, hakupaswa kutanguliza maslahi yake binafsi.

''Mimi nilikuwa nategemea kwamba, mtu anaingia katika utumishi wa Umma kwa ajili ya huduma kwa wananchi, sasa ukikubali kufanya kazi kama RC na umepewa kazi hiyo na Rais ni kwamba uko  tayari kuwahudumia wananchi, lakini kwa maneno aliyoyasema Makonda yeye yupo pale kujihudumia mwenyewe na njaa zake'' amesema Fatma Karume.

Aidha Wakili huyo ameongeza kuwa,kutokana na kauli hiyo, Makonda ameudhihirisha Umma kwamba hauwezi kusimama peke yake.

''Tatizo ni kwamba yupo pale kujihudumia njaa zake kwa maana huyu mtu hawezi kusurvive bila Serikali na anaitegemea Serikali na nguvu za wananchi ili ale, siyo yeye anayetaka awahudumie Wananchi bali anataka Wananchi wamhudumie yeye kitu ambacho hakiwezekani'' amesema Wakili huyo.

Kauli ya njaa ya  Makonda imekuja ikiwa ni siku chache tangu Rais Magufuli, alipotembelea machinjio ya Vingunguti na kuonesha kutoridhishwa na ujenzi wa machinjio mapya, ambapo alimuagiza Mkuu wa Mkoa kuhakikisha anasimamia miradi ya mkoa wake na inatekelezeka kwa muda muafaka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava