Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fomu ya Urais kuanza kutolewa leo Dodoma

Jumatano , 5th Aug , 2020

Wakati baadhi ya vyama vya siasa vikiendelea na mchakato wa kusaka mpeperusha bendera wa chama kwenye Uchaguzi Mkuu, ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), leo Agosti 5, 2020, inaanza zoezi la utoaji fomu za wagombea wa nafasi ya Urais katika ofisi zake zilizopo jijini Dodoma. 

Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), Jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, hivi karibuni inaonesha kwamba, wagombea Urais wenye nia ya kuiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatakiwa kufika Njedengwa jijini Dodoma kuanza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo. 

Fomu za Urais zitachukuliwa kwa muda wa siku 20 kati ya Agosti 5 hadi Agosti 25, mwaka huu na watu wenye sifa ya kugombea nafasi ya kiti cha Urais ambao watakuwa wameteuliwa na vyama vyao vya siasa vyenye usajili wa kudumu ndiYo watakaofuata fomu hizo.

Mpaka sasa hivi vyama vilivyopitisha wagombea wa nafasi hiyo ni, Chama cha Mapinduzi ambacho kimempitisha Rais Magufuli, chama cha CUF kimemteua Profesa Lipumba, CHAUMA atasimama Hashim Rungwe, John Shibuda ataiwakilisha TADEA, huku CHADEMA kiti hicho kikitetewa na Tundu Lissu.

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava