Gari lililogonga bodaboda
Ajali hiyo imetokea hii leo Agosti 5, 2022, ambapo kwa mujibu wa mashuhuda gari hilo liligongwa kwa nyuma na kukosa mwelekeo ambapo ilipelekea kuvamia pikipiki iliyokuwa imepaki pembeni na dereva wake.
Katika ajali hiyo hakuna kifo wala majeruhi, lakini gari hilo limeharibika kwani tairi zake mbili za nyuma zimepasuka na pikipiki kuharibika.