Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ghana yapata kigugumizi sheria ya kupinga ushoga

Jumanne , 28th Mar , 2023

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo jumatatu alisema mswada wa kupinga ushoga unaojadiliwa bungeni umebadilishwa kufuatia serikali yake kuingilia kati.

Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, Bw Akufo-Addo alisema mswada huo sio sera rasmi ya serikali bali umewekwa na wanachama wachache wa kibinafsi.

Alisema mwanasheria mkuu aliwasilisha maoni kwa kamati ya bunge kuhusu "katiba au vinginevyo vya vifungu vyake kadhaa".

"Uelewa wangu... ni kwamba vipengele vikubwa vya muswada huo tayari vimebadilishwa kutokana na kuingilia kati kwa mwanasheria mkuu," alisema bila kutoa maelezo zaidi.

Rais Akufo-Addo alikataa kusema atafanya nini ikiwa mswada huo utapitishwa  na alitumai bunge litazingatia unyeti wa kipengele cha haki za binadamu.

Mapenzi ya jinsia moja tayari yanaadhibiwa kwa kifungo cha hadi miaka mitatu jela nchini Ghana, ambako mitazamo ya ushoga imeenea, lakini rasimu ya sheria hiyo itatoa adhabu ya kifungo cha muda mrefu.

Bw Akufo-Addo awali alizungumzia ndoa za jinsia moja, akisema kamwe haitahalalishwa wakati wa utawala wake.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine