Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hakuna muujiza wa kusogeza magari" - DART

Jumatano , 14th Aug , 2019

Msemaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka ( DART) maarufu Mwendokasi, Deus Bugaywa amesema foleni iliyokuwepo leo Agosti 14, katika kituo cha mabasi hayo kilichopo Mbezi Mwisho inatokana na kuwepo kwa foleni kubwa ya magari barabarani hali iliyosababisha mabasi kuchelewa kituoni.

Akizungumza na EATV & Radio Digital, Bugaywa amesema foleni ya Mbezi haiwezi kwenda kwa matakwa ya mtu binafsi kwa sababu njia ni moja na inatumiwa na magari ya kawaida na mabasi, hivyo hakuna muujiza wa kuyasogeza ili yawahi kuchukua abiria.

''Mbezi huwezi ukategemea mipango yako kwa sababu ile ni foleni na kuna wakati magari yanakata kabisa, hali ya barabara ndio inatafsiri aina ya huduma zitakayoendelea. Mbezi ni eneo ambalo barabara inatumiwa na magari mengine kwahiyo mfumo wa barabara zingine zitakavokuwa", amesema Buganywa.

"Mfumo utakavyokuwa kama kuna foleni lazima tu magari yatakwama kwenye foleni na hakuna muujiza wa kuyasogeza hapo na hata abiria wanajua na tumekuwa tukiwaelewesha katika hilo'', ameongeza.

Hatua ya kuutafuta uongozi wa DART, imekuja baada ya kushuhudia hali ya foleni ya watu katika eneo hilo,  walioonekana kukaa kwa muda mrefu bila gari kutokea.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava