Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Halima Mdee alianzisha tena

Jumanne , 13th Feb , 2018

Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Mhe. Halima Mdee amefunguka na kudai katika uchaguzi huu wa marudio unaotarajiwa kufanyika Jumamosi (Februari 17) anataka haki itendeke kwa wagombea ili amani na utulivu wa nchi uendelee kuwepo.

Mdee ametoa kauli hiyo akiwa anamuombea ridhaa mgombea wao wa jimbo la Kinondoni Salum Mwalimu ili aweze kuwa muwakilishi wa wananchi hao na kusema safarii hawatakubali kuona dhuluma ikiendelea kutendeka za kuiba kura za mgombea fulani na kwenda kwengine kama walivyozoelea kuwafanyia.

"Huu uchaguzi tunataka watawala wajue kwamba kila mbinu wanayoifanya tunaijua lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Tunataka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Taifa (NEC), Polisi pamoja na wasimamizi wa uchaguzi ambao watakaotumwa na CCM wajue iwe jua, mvua, matope au mchanga, tunahitaji mwenye haki yake apewe", amesema Mdee.

Pamoja na hayo, Mdee ameendelea kwa kusema "Maulid Mtulia akishinda apewe Mtulia, Salum Mwalimu akishinda apewe Salum Mwalimu. Wananchi tumechoka kufikilia kuja hapa, wananchi tumechoka kufanywa mazuzu wakati tunajielewa.Tunataka mfumo wa demokrasia uwaachiliwe ili amani na utulivu wa nchi yetu ipate kubaki kwa sababu ikivunjwa haitabaki na hakuna mtu atakayepona".

Kwa upande mwingine, Halima Mdee amesema katika nchi zilizoendelea kidemokrasia huwa hakuna vyama vinavyotawala milele wala kuwadanganya wananchi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto