Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Halmashauri zaagizwa maeneo salama kwa Wananchi

Jumapili , 28th Feb , 2016

Serikali imezitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wananchi wote wanaishi katika maeneo salama katika kipindi hiki cha mvua ili kuwahepusha na kukumbwa na maafa pindi zinaponyesha mvua kubwa zinazosababisha mafuriko.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.KasSim Majaliwa

Agizo hilo limetolewa jana mkoani Mtwara na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.KasSim Majaliwa alipokuwa akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa, na kusema kuwa kwamujibu wa taarifa za watabiri wa hali ya hewa ni kwamba bado mvua zitakuwa nyingi na kubwa zaidi katika kipindi cha mwezi Machi mwaka huu.

Amesema serikali inawapa pole wote waliokumbwa na maafa hayo huku ikijitahidi kutoa misaada kwa waathirika kwa kadri inavyowezekana ili kupunguza ugumu wa maisha uliosababishwa na janga hilo.

Awali mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego, akitoa taarifa ya maafa hayo alisema jumla ya kaya 2177 na mashamba 5200 yaliharibiwa na mafuriko, huku kukiwa na vifo vya watu Tisa ambavyo vilisababishwa na Radi kali ambazo zilipiga wakati wa mvua na upotevu wa mali zenye thamani ya sh. Bilioni 1.8.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi