Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hapa ndipo ilipofikia Mv Nyerere

Alhamisi , 18th Apr , 2019

Mtendaji Mkuu wa Temesa, Mhandisi Japhet Masele amesema kwamba mpaka sasa tayari kivuko cha Mv.Nyerere kimesharekebishwa injini zote na zinafanya kazi.

Picha ya kivuko cha Mv Nyerere

Akizungumza na East Africa Drive ya East Africa Radio, Mhandisi Masele amesema kwamba Kivuko cha Mv Nyerere kilipata matatizo kwenye mitambo yake kwa kuwa kiliangukia ndani ya maji.

Amesema mitambo hiyo ya kielektroniki ikiingia maji ndiyo huleta matatizo lakini, uharibifu kwenye kivuko hicho siyo mkubwa sana hivyo katika mwaka huu wa fedha, ifikapo Julai matengenezo ndiyo yataanza kufanyika.

"Kivuko kiliangukia kwenye maji na siyo kwenye sehemu ngumu kwa hiyo uharibifu siyo mkubwa sana. Uharibifu upo kwenye mitambo ya kuendeshea ambayo ikiingia maji inaathirika" amesema.

Pamoja na hayo, Mhandisi Masele amesema kwamba hadi sasa hawajafahamu matengenezo ya kivuko hicho yatagharimu shilingi ngapi kwa kuwa bado wanaendelea na manunuzi ya vifaa.

Kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kinafanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukara katika Ziwa Victoria kilizama na kumpelekea idadi ya watu 200 wakiripotiwa kufariki.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto