Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya wanafunzi waliosimamishwa UDSM

Jumatatu , 3rd Feb , 2020

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa William Anangisye, amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa wataweza kuwaita viongozi Sita wa Serikali ya wanafunzi wa chuo hicho (DARUSO), waliosimamishwa masomo kwa ajili ya hatua zingine.

DARUSO , kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa William Anangisye.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital leo Februari 3,2020 Profesa Anangisye amesema kuwa uchunguzi wa awali waliokuwa wanaufanya dhidi yao umekwishakamilika kwa kiasi fulani na kwamba wataweza kuwaita mara baada ya taratibu zao kukamilika.

"Tuko kwenye mchakato wa kuwaita na ile barua ilikuwa inasema pending investigation sasa hivi tumeshamaliza na tumefikia kwenye hatua fulani, na suala la masomo lina taratibu zake na nadhani hadi keshokutwa (Jumatano Februari 5) nitakuwa na nafasi nzuri ya kuliongelea" amesema Profesa Anangisye.

Viongozi Sita wa DARUSO akiwemo Rais wao walisimamishwa masomo Disemba 18, 2019 na uongozi wa chuo baada ya kupokea maagizo kutoka kwa Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako, aliyetoa masaa 24 kwa uongozi wa chuo kuwachukulia hatua stahiki baada ya DARUSO kutoa tamko la masaa 72 kwa Bodi ya Mikopo, wakishinikiza kulipwa madai yao ya mikopo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava