Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatua zinazoendelea ujenzi wa taifa la kidijitali

Jumatano , 20th Oct , 2021

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021, Mulembwa Munaku, amesema jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia taifa la kidijitali.

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano

Munaku ameyasema hayo leo kwenye Ukumbi wa Simba ndani Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha wakati akieleza muelekeo wa kidijitali kama taifa na jitihada mbalimbali zinazoendelea katika kufikia uchumi wa kidijitali.

''Kama ambavyo tunafahamu 75% ya wananchi ni vijana, ni wazi tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye TEHAMA ili kuwawezesha kujikwamua ikiwemo kupata ajira na kujiajiri wenyewe kupitia teknolojia katika ulimwengu huu wa kidijitali, kwasababu ni asilimia 25 ndio wanapata ajira rasmi,'' amesema Mulembwa Munaku.

Aidha ameongeza kuwa, ''Mahitaji bado ni makubwa kwenye uwekezaji wa kufikisha 'internet' kwenye maeneo ya vijijini, hata hivyo tunayashukuru makampuni mbalimbali ya mitandao ya simu kwa kuendelea kufikisha huduma katika maeneo hayo,''.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA