Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe, Khamis Issah
Akizungumza mara baada ya kuwakamata raia hao, Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe, Khamis Issah, amesema kuwa watu hao wameharibu tu bajeti ya Taifa, kwani wamekula chakula ambacho hakikuwa kwenye bajeti yao.