Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ibada zikifungwa, watu watakufa" - Gwajima

Jumatatu , 23rd Mar , 2020

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa hakuna haja ya watu kufanya ibada kwa njia ya mitandao ya kijamii kama wanavyofanya wengine kwakuwa, watu wengi ni maskini na faraja yao wanaipata kanisani.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Askofu Gwajima ameyabainisha hayo kupitia mazungumzo maalum aliyofanya na EATV&EA Radio Digital, wakati akijibu swali la kwamba haoni kama kuna haja ya yeye kuanzisha maombi kwa njia ya mitandao ili kuepusha misongamano ya watu katika kipindi hiki ambacho Dunia inapambana na ugonjwa hatari unaosababishwa na Virusi vya Corona.

"Ni hatari sana kwa sababu watu wetu sisi ni maskini, kanisani ni mahala pa faraja ambapo watu wanapewa, tukisema tufunge kuabudu watakufa watu wengi sana na kuna uvumi kuwa ugonjwa huu hauna dawa ukiupata unakufa, sisi tukikutana nao tutawaelimisha kwamba ukipata hautakufa" amesema Gwajima.

Mpaka sasa nchi ya Tanzania ina jumla ya wagonjwa 12 wenye maambukizi ya Virusi vya Corona.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine