Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

IGP Sirro amuondoa RPC wa Mwanza

Jumatano , 15th Aug , 2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, leo Agosti 15, 2018 amefanya mabadiliko madogo kwa kuwahamisha makamanda wa Polisi katika mikoa ya Mwanza na Pwani.

IGP Simon Sirro

Katika mabadiliko hayo IGP Sirro, amemuondoa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Kamishna msaidizi wa Polisi (DCP) Ahmed Msangi na kumhamishia makao makuu ya upelelezi Dar es salaam kuwa mkuu wa kitengo cha makosa dhidi ya Binadamu.

Nafasi yake imechukuliwa na Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani.

Aliyekuwa RPC wa Mwanza Ahmed Msangi.

Kwa upande mwingine Sirro amemteua Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Wankyo Nyigesa ambaye alikuwa Mkuu wa Operesheni kanda maalum ya Dar es salaam kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani akichukua nafasi ya Jonathan Shana.

Taarifa ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa mabadiliko haya ni kawaida na yanalenga kuongeza ufanisi na utendaji kazi ndani ya jeshi hilo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava