Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ilala yajinasibu utekelezaji miradi ya maendeleo

Jumanne , 8th Sep , 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri amesema kukamilika kwa miradi ya kimkakati katika Manispaa hiyo ikiwemo Machinjio mpya ya kisasa inayojengwa Vingunguti kunatarajiwa kutoa ajira za kudumu zaidi ya 200 na watu wengine zaidi ya 3,000 kushiriki katika nyanja mbalimbali.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri akiwa katika moja ya matukio muhimu picha na maktaba.

Hii leo Eatv imefika ofisini kwake na kufanya mazungumzo juu ya namna miradi ya kimkakati itakavyo wanufaisha makundi mbalimbali mkurugenzi huo emeelezea jinsi wanavyotarajia kuanzisha viwanda vidogo vidogo vilivyolenga kunufaisha makundi mbalimbali.

Wakati huo huo Bw Shauri amesema kwa muhula huu wa kwanza unaokwenda kuishia Manispaa inatarajia kutoa shilingi bilioni moja kwa ajili ya mikopo rahisi kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo hadi kufiki sasa vijana wengi wamenufaika kwa mikopo ya bodaboda na bajaji huku vikundi vingine vilipewa basi pamoja na gari ya kuchakata taka taka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava