Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jafo ataka wagombea wanaokata rufaa watendewe haki

Alhamisi , 7th Nov , 2019

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, amezitaka Kamati za Rufaa kushugulikia malalamiko ya wagombea watakaokata rufaa na kutoa maamuzi sahihi ili kuufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuwa wa amani na haki.

Waziri Jafo ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Iringa, ambapo amesema amepokea malalamiko mengi kutoka kwa wagombea hasa wa upinzani kwa kile kinachoelezwa kuwa hawajatendewa haki katika zoezi hilo.

"Nendeni mkafanye kazi kwa weledi, sitaki nyinyi muwe watu mtakaopitisha yaliyofanyika kule chini, naombeni mkaangalie yale malalamiko ya mtu anayelalamika muangalie mufanye maamuzi bila kufungwa na mtu yeyote." amesema Jafo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, amesema anataarifa ya Mitaa 46, ambayo vyama vya upinzani havikuchukua fomu kabisa.

Novemba 24, 2019, Watanzania wanatarajia kushiriki zoezi la kupiga kura kwa kuwachagua viongozi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90